Best 432 quotes in «holy spirit quotes» category

  • By Anonym

    Maana halisi ya falsafa ya 'Nitakuwa tayari kufungwa kwa ajili ya matatizo ya watu', au Falsafa ya Kufungwa, ni uvutano mkubwa uliopo kati ya Roho Mtakatifu na Roho wa Shetani kwa sisi wanadamu wote. Jambo lolote baya limtokealo mwanadamu husababishwa na Shetani na si Mungu na watu hupata matatizo kwa sababu ya kudharau miito ya mioyo yao wenyewe, au kudharau kile Roho Mtakatifu anachowambia. Unaweza kuvunja sheria kwa manufaa ya wengi kwani mibaraka haikosi maadui. Ukifungwa kwa kuvunja sheria kwa ajili ya manufaa ya wengi watu watakulaani lakini Mungu atakubariki. Kwa nguvu ya uwezo wa Roho Mtakatifu Mungu atamshinda Shetani kwa niaba yako. Tukijifunza namna ya kuwasiliana na Roho Mtakatifu hatutapata matatizo kwani Mungu anataka tuishi kwa amani katika siku zote alizotupangia, licha ya damu yetu kuwa chafu. Mtu anapokufa kwa mfano, Roho wa Shetani amemshinda Roho Mtakatifu na Roho Mtakatifu hatalipendi hilo kwa niaba ya Mungu. Ikitokea mtu akayashinda majaribu ya Shetani katika kipindi ambacho watu wote wameyashindwa; mtu huyo amebarikiwa na Mungu, ili aitumie mibaraka hiyo kuwaepusha wenzake na roho mbaya wa Shetani. Nikisema 'Kwa nguvu ya uwezo wa Roho Mtakatifu Mungu atamshinda Shetani kwa niaba yako' namaanisha, Roho Mtakatifu ana uwezo wake na Roho wa Shetani ana uwezo wake pia. Ukimshinda Roho wa Shetani uwezo wa Roho Mtakatifu umekuwa mkubwa kuliko uwezo wa Roho wa Shetani, na ukishindwa kumtii Roho Mtakatifu uwezo wa Roho wa Shetani umekuwa mkubwa kuliko uwezo wa Roho Mtakatifu, ilhali uwezo wa Mungu ni mkubwa kuliko wa Roho Mtakatifu na wa Roho wa Shetani kwa pamoja. Mungu humtumia Roho Mtakatifu kumlindia watoto wake ambao ni sisi dhidi ya Shetani … Kila akifanyacho Roho Mtakatifu hapa duniani ni kwa niaba ya Mungu, na tukimtii Roho Mtakatifu Mungu atamshinda Shetani kwa niaba yetu. Mtu anapofungwa kwa kutetea maslahi ya umma wewe unayemfunga umemtii Roho wa Shetani. Yule anayefungwa amemtii Roho Mtakatifu maana amebarikiwa, na mibaraka haikosi maadui.

  • By Anonym

    Maintaining one’s health in today’s toxic rich environment requires proper rest, hydration, an abundant intake of nutrients, and regular internal cleansing practices

  • By Anonym

    Make peace with others. The only thing you can change about the past is the damage you may have done to relationships. You may need to make amends with some people and say sorry. Sometimes it feels like we have unfinished business if we leave something in a state of tension. Break the ice, admit you were wrong, and then you and the other person can let go of any bitterness and move on. Sometimes God won't let us rest with ourselves and be at peace unless we take care of certain things. The Bible says in Matthew 5, "Therefore if you are presenting your offering at the altar, and there remember that your brother has something against you, leave your offering there before the altar and go; first be reconciled to your brother, and then come and present your offering." Another good verse that is related to this is in Mark 11, "Whenever you stand praying, forgive, if you have anything against anyone, so that your Father who is in heaven will also forgive you your transgressions. But if you do not forgive, neither will your Father who is in heaven forgive your transgressions." So we need to forgive others and we need to ask for their forgiveness if we have done them wrong. When Jesus was asked how many times we have to forgive others He said 70 times 7, as in, countless times. Joyce Meyer says, "Do yourself a favor and forgive," because you will never truly have peace until you forgive everyone and anyone who has done you wrong. Amen.

  • By Anonym

    May power of the Holy Spirit, renew your thoughts and attitudes.

  • By Anonym

    May the might power of the Holy Spirit renew our thoughts and attitudes.

  • By Anonym

    May the power of the Holy Spirit give us the grace, strength and wisdom.

  • By Anonym

    May you find grace and power of the Holy Spirit to give you hope for a new life.

  • By Anonym

    May your life overflow with hope through the power of the Holy Spirit.

  • By Anonym

    Mbegu ni neno la Mungu. Mfano bora, msamaha, ndoto, tabasamu, uadilifu, uaminifu, uchapakazi na uvumilivu ni maneno ya Mungu. Kwa hiyo mfano bora, msamaha, ndoto, tabasamu, uadilifu, uaminifu, uchapakazi na uvumilivu ni mbegu. Watu ni ardhi. Panda mbegu ya mfano bora kwa watoto wako, msamaha kwa maadui zako, ndoto kwa malengo yako, tabasamu kwa marafiki zako, uadilifu kwa waajiri wako na kwa wafanyakazi wako pia kama unao, uaminifu kwa marafiki zako wa ukweli, uchapakazi kwa kazi zako na uvumilivu kwa wapinzani wako. Kila mbegu irutubishwe kwa imani na upendo kwa watu. Katika mfano huu ukuaji unawakilisha utakaso, ambao ni muundo wa taswira ya Mungu ndani yetu kwa kuishi kama anavyoishi yeye kwa nguvu ya Roho Mtakatifu. Tunachotakiwa kufanya baada ya kupanda mbegu ni kutimiza wokovu wetu sisi wenyewe kwa kuogopa na kutetemeka. Kutimiza wokovu wetu sisi wenyewe ni sawa na mvua, jua, palizi, mbolea, ili mavuno yaweze kuwa ya uhakika.

  • By Anonym

    Meditation is an excellent habit and tool for transformation, however your ‘practice’ should eventually evolve into your natural primary state of being.

  • By Anonym

    Mimi ni mwana wa Mungu. Sisi sote ni watoto wa Mungu. Lengo la kuzaliwa kwangu ni kufanya kazi pamoja na Roho Mtakatifu na malaika kumtumikia Bwana, na kueneza injili ya Yesu Kristo duniani kote, kupitia vitabu.

  • By Anonym

    Mitume wa Yesu Kristo hawakuwa na Roho Mtakatifu lakini walikuwa na kitu ndani cha kiroho zaidi kilichowatofautisha na wengine kwa namna ya kipekee. Walikuwa na segula, walikuwa na haki ya kuwa watoto watakatifu wa Mungu.

    • holy spirit quotes
  • By Anonym

    Mitume wa Yesu Kristo wakati wanahubiri injili hawakuwa na Roho Mtakatifu, walikuwa hata bado hawajaongoka, lakini walikuwa na idhini maalumu kutoka kwa Mungu ya kuhubiri Neno la Mungu. Neno la Mungu halihubiriwi kwa nguvu zetu sisi wenyewe bali linahubiriwa kwa nguvu za Mungu kutokana na utii kwa uongozi wake.

  • By Anonym

    Moment by moment the Holy Spirit will work with your beliefs, taking you step by step as you unwind your mind from the many false concepts that you believe keep you safe and make you happy. Only the release from these false beliefs can bring you true happiness and lasting peace.

  • By Anonym

    Most of us don't fear that we are not enough; what most of us really fear is our own greatness. Most of us have a fear of success. Why? Because we don't think that we deserve to be successful in anything. This is why people recklessly spend their money or don't work as hard as they could or do things that they know are wrong. They are hindering their own success on purpose, because they don't think they deserve it. They cut their own legs out from underneath them on purpose. They are self-sabotaging.

  • By Anonym

    Mtu anaweza kuchanganyikiwa lakini akasema kitu cha hekima, akiongozwa na Roho Mtakatifu.

    • holy spirit quotes
  • By Anonym

    Mungu humwambia mtu kitu cha kusema na mtu huwambia wenzake kile ambacho Mungu amemwambia aseme. Lakini utajuaje kama Mungu amekuchagua wewe kusema au kufanya kitu? Mungu atakwambia kupitia Roho Mtakatifu, na utajisikia msukumo mkubwa wa kusema au kufanya kile ambacho Mungu anataka useme au ufanye. Unabii unaweza kumtokea mtu yoyote, mahali popote, anayejua jinsi ya kuwasiliana na Mungu.

  • By Anonym

    Mungu hutumia watu 'wajinga' na 'wapumbavu' kufanya mambo makubwa katika maisha yao na ya watu wengine. Katika Biblia, Musa aliitwa mjinga alipokiuka amri ya Farao ya kuendelea kuwafanya watumwa wana wa Israeli nchini Misri; Nuhu aliitwa mpumbavu alipohubiri kwa miaka mia kuhusu gharika, katika kipindi ambacho watu hawakujua mvua ni nini; Daudi aliitwa mjinga alipojitolea kupambana na Goliati bonge la mtu, shujaa wa Gathi; Yusufu aliitwa mjinga alipokataa kulala na mke wa bosi wake, baada ya kuwa ameuzwa na nduguze kama mtumwa nchini Misri; Abrahamu aliitwa mjinga alipoamua kuhama nchi aliyoipenda na kwenda katika nchi ya ahadi, eti kwa sababu Mungu alimwambia kufanya hivyo; Yesu aliitwa mjinga mpaka akasulubiwa aliposema yeye ni Mfalme na Mwana wa Mungu. LAKINI, Musa alitenganisha Bahari ya Shamu na kuwapeleka Waisraeli katika nchi ya ahadi, ambako aliwakomboa kutoka utumwani. Nuhu aliokoa dunia. Daudi alimshinda Goliati. Yusufu aliokoa familia yake kutokana na njaa. Abrahamu alikuwa baba wa imani. Yesu aliyashinda mauti. Wakati mwingine tunatakiwa kufanya mambo makubwa kulingana na jinsi Roho Mtakatifu anavyotutuma, bila kujali watu au dunia itasemaje.

  • By Anonym

    Mwendawazimu anaweza kuzungumza jambo la maana, kwa maana ya kuongozwa na Roho Mtakatifu. Hivyo, usimdharau mtu. Kila mtu ana thamani sawa mbele ya Mungu.

  • By Anonym

    My grandma loved to be on stage entertaining people.  She loves to make people smile and laugh.  She loves to brighten other people's day.  She often calls perfect strangers her angel, as a way of witnessing, but also to encourage and build their self-esteem.

  • By Anonym

    Naturally all of us don't think we deserve very much. We don't believe that things will go well for us in the future, generally because they may not have in the past. Our natural bent is to expect the worst. Our natural tendency is to be negative and doubtful. It is actually very hard to be positive. It takes faith to be positive and believe that good things are in our future.

  • By Anonym

    Negativity is a debilitating disease. It is a slow and painful way to experience life. It attacks the immune system, creates anxiety, and can lead to loneliness and depression. Finding your inner harmony is the quickest way to alleviate the methodical destruction of this dark energy

  • By Anonym

    Never allow dogmatic interpretations of Karma to keep you from defending what is right or just. You must accept the reality that on occasion, you may very well be the proper instrument of this cosmic force.

  • By Anonym

    Never put yourself in a position to be made an example of.

  • By Anonym

    Nini kingetokea kama Adamu na Hawa wasingekula tunda la Mti wa Maarifa ya Mema na Mabaya mpaka siku ya Sabato? Mungu angewaruhusu kula na lengo la uumbaji wa Mungu lingekamilika. Wanadamu wakifuata Amri Kumi za Mungu katika maisha yao watakuwa na uwezo maalumu ambao baadaye utawawezesha, kupitia Roho Mtakatifu, kuwa na maarifa ya siri ya uumbaji wa Mungu.

  • By Anonym

    No man by mere high human wisdom would dare undertake a step for Jesus’ sake unless he knows that the Holy Spirit has directly spoken to him; and until He comes, I shall not go.

  • By Anonym

    No matter how much individuals do through their own efforts, they cannot actively purify themselves enough to be disposed in the least degree for the divine union of the perfection of love. God must take over and purge them in that fire that is dark for them, as we will explain.

  • By Anonym

    Nothing but a miracle of grace can lead to the saving of any sinner. Oh, my reader, be not deceived on this vital matter; to mortify the lusts of the flesh, to be crucified unto the world, to overcome the Devil, to die daily unto sin and live unto righteousness, to be meek and lowly in heart, trustful and obedient, pious and patient, faithful and uncompromising, loving and gentle; in a word, to be a Christian, to be Christ-like, is a task far, far beyond the poor resources of fallen human nature.

  • By Anonym

    Now if BECOMING history is the particularity of the Son in the economy, what is the contribution of the Spirit? Well, precisely the opposite: it is to liberate the Son and the economy from the bondage of history. If the Son dies on the cross, thus succumbing to the bondage of historical existence, it is the Spirit that raises him from the dead. The Spirit is the BEYOND history, and when he acts in history he does so in order to bring into history the last days, the ESCHATON. Hence the first fundamental particularity of Pneumatology is its eschatological character. The Spirit makes of Christ an eschatological being, the 'last Adam.

  • By Anonym

    O Lord, you have searched me and you know me.

  • By Anonym

    O my soul, is not this enough? Dost thou need more strength than the omnipotence of the United Trinity? Dost thou want more wisdom than exists in the Father, more love than displays itself in the Son, or more power than is manifest in the influences of the Spirit?

  • By Anonym

    One can memorize all words written about Christ but without a heart connection to Him, one does not know Him, and they will not be saved by Him.

  • By Anonym

    One of the reasons why most relationships struggle is because we salute the problem more than standing besides our loved ones. We honor the problem, glorify it, magnify it and worship it, until it breaks the relationship apart. If we honored our loved ones more than the problem, forgiveness will not be a struggle.

    • holy spirit quotes
  • By Anonym

    Only a fool will accept a gift you cannot keep. You can't keep anything from the world but salvation is wise and everlasting. John 3:16

  • By Anonym

    Only God can write a story that resonates not just in the power of the imagination or the heart or the mind, but in the very soul; only God can write a story that brings dead things to life.

  • By Anonym

    Only the Holy Spirit can open our eyes. Only He can convict us of the depth of our sin, and only He can convince us of the truth of the Gospel.

  • By Anonym

    Our combat with the devil always should be with the consciousness that we have authority always should be with the consciousness that we have authority over him because he is a defeated foe – the Lord Jesus Christ defeated him for us.

  • By Anonym

    Our Scripture awakened that most glorious of things, the spontaneous love our Lord so desires His children to bear Him, for it is what He bears them.

  • By Anonym

    Peace is not the circumstances that surround, but rather the Person within me who I have submitted my whole life to.

  • By Anonym

    People generally have three reactions to the gospel, to hearing the name of Jesus; they either are drawn to it like fireflies drawn to a flame, they run away from it for fear that the light will expose their own sin and shame, or they try to put out the light like someone throwing something at a lamp to break it.

  • By Anonym

    People often joke about how they’re unable to make conversation until they’ve had their morning cup of coffee. What if we treated our daily quiet time with the same importance? What if we decided not to speak to anyone until we spend time with our Creator and allow Him to fill us with His Spirit first thing in the morning?

  • By Anonym

    People that criticize the harshest usually are the ones who would trade places the fastest

  • By Anonym

    Persecuting Christians because of Jesus Christ is like a man who goes after the children of his enemy because he is indeed afraid of his enemy. Matthew 24:9

  • By Anonym

    Prayer is a fellowship with a Supreme Being.

  • By Anonym

    Prayer does not blind us to the world, but it transforms our vision of the world, and makes us see it, all men, and all the history of mankind, in the light of God. To pray 'in spirit and in truth' enables us to enter into contact with that infinite love, that inscrutable freedom which is at work behind the complexities and the intricacies of human existence. This does not mean fabricating for ourselves pious rationalizations to explain everything that happens. It involves no surreptitious manipulation of the hard truths of life.

  • By Anonym

    Pretty much every day consists of me trying to save the world.

  • By Anonym

    Purpose in the suffering A crisis-- the kind that knocks the wind out of ya, the kind that makes your blood run cold and alters your perception of all you think your reality "is." THAT kind of crisis brings us not only to our knees, but smack-dab with every question we've ever pondered on God's existence. There is purpose in the suffering. It MAKES us ask eternal questions with eternal answers. Often that's what it takes to wake us up. The suffering is actually merciful, from a God who would literally do ANYTHING to get us to run into His arms.

  • By Anonym

    Put your hand inside the hat, search with your fingers. He is the light wrapped inside the darkness. That’s the wonder of Rabbit. We think he’s not in the hat. But he is.

  • By Anonym

    Questions are only offensive to those who have something to hide

  • By Anonym

    Quran, Bible and Bhagavad Gita were told by God and written by you, may be you had misinterpreted according to your language, faith and culture