Best 388 quotes in «satan quotes» category

  • By Anonym

    To thine beautiful unawares beloved deity, in one’s benevolent craft, each of us must reveal our own truth.

  • By Anonym

    Tunazaliwa, kuteseka na kufa kwa sababu ya dhambi ya asili ya wazazi wetu wa kwanza (Adamu na Hawa). Kama Hawa asingekubali kudanganywa na Shetani, tungezaliwa bila uchungu, tungeishi bila kuteseka na tusingekufa milele. Lakini haya ndiyo mawazo yangu: Mungu Ahusiki na dhambi, Ahusiki na mwili, Anahusika na roho. Hivyo, mtu anapofariki mwili unabaki duniani lakini roho inarudi kwa Mungu; kwani Yeye ndiye aliyeitengeneza na kuiweka katika moyo wa mtu. Mimi na wewe ni viumbe vyenye thamani kubwa sana mbele za Mwenyezi Mungu; mapenzi Yake kwetu hayana masharti yoyote. Hainiingii akilini (hata kidogo) kumtesa mtu unayempenda kiasi hicho milele, wakati uwezo wa kumwokoa unao.

  • By Anonym

    Ukitamka nadhiri waziwazi Shetani atasikia. Akisikia atavuruga. Mipango yako yote aliyosikia itakuwa matatizoni.

  • By Anonym

    Ukikasirika, aliyesababisha ukasirike ni Shetani aliyeko ndani yako; na ukiwa na furaha, aliyesababisha uwe na furaha ni Mungu aliyeko ndani yako.

  • By Anonym

    Unapokuwa na matatizo makubwa katika maisha, Shetani anakuandama sana, Mungu ana mpango maalumu na maisha yako.

  • By Anonym

    Usipoangalia kwa undani sana, mapepo wanatutawala kwa sababu hatuna uwezo wa kuwaona. Aidha, wanaweza, bila hata sisi kujua, kuwasiliana nasi kimawazo na kitabia kupitia hewa hiihii inayotusaidia katika kuishi. Watu wengi katika dunia hii hawajui kama wanadanganywa au walishadanganywa tayari. Shetani na mapepo wake hawataki tujue kama wanatudanganya au wameshatudanganya tayari, na hawataki tujue kama wako hapa kwa ajili ya kutudanganya sisi. Tunajua tu kwa sababu Neno la Mungu hudhihirisha ukweli huu kupitia Roho Mtakatifu na malaika wema, na tunauamini. Licha ya hili jambo kutokea katika maisha yetu, Shetani bado anaweza kutudanganya hadi pale tutakapoerevuka kwa kiasi cha kutosha kuhakikisha kwamba udanganyifu huo hautatokea tena.

  • By Anonym

    Vita ya Shetani na Mungu inatuathiri zaidi sisi wanadamu – na hapo baadaye itamuathiri Shetani pia. Vita hii haiwezi kuisha hadi siku ya mwisho, Yesu Kristo atakaporudi kuwachukua wateule wake. Pambana kwa njia ya maombi hadi siku ya mwisho kwa sababu adui tunayepambana naye hana muda wa kupumzika. Pambana kujiombea na kuwaombea wengine waliohai, na hata wale ambao bado hawajazaliwa, kabla mafuta ya dunia hii hayajalipuka. Usiishi kama adui wa msalaba wa Yesu Kristo, badala yake, ishi kama rafiki wa msalaba wa Yesu Kristo. Kuishi kama rafiki wa msalaba wa Yesu Kristo ni kupinga majivuno yote ya Shetani kwa upendo uliotukuka wa kujishusha au kujidharirisha, kutokutetereka hata kidogo na tamaa za ulimwengu huu kwa upendo mkubwa wa umaskini, na kutokuyumba wakati wa matatizo kwa sababu wakati wa amani ulijilimbikizia imani.

  • By Anonym

    Wachawi hivi ndivyo wanavyoapishwa na kuikana imani ya Kikristo: Mwanafunzi hupelekwa kilingeni katika siku maalumu kuonana na Shetani, pamoja na jopo la wachawi. Shetani hutokea katika mwili wa hewa, mwili uliochanganyikana na hewa na mvuke mzito, wa mwanamume na kuwasihi waishikilie imani yao kwake kwa mioyo yao yote, huku akiwaahidi utajiri na maisha marefu kama hawatamkana. Kisha wachawi wanampendekeza mwanafunzi kwa Shetani. Shetani humuuliza mwanafunzi kama yuko tayari kuikana imani yake, kuachana na Ukristo na kutokumwabudu Mwanamke Aliyebarikiwa Kuliko Wanawake Wote Duniani Maria Magdalena, na kutoziheshimu sakaramenti za aina zote. Mwanafunzi atakapokubaliana na masharti hayo, Shetani atanyoosha mkono wake na kumsihi mwanafunzi anyooshe wa kwake. Kwa mkono wake mwenyewe, mwanafunzi ataapa na kuweka agano na Shetani mbele ya jopo la wachawi. Baada ya hapo bila kuchelewa Shetani ataendelea na kusema kuwa hicho kiapo hakitoshi. Lakini mwanafunzi atakapouliza afanye kitu gani cha ziada, Shetani atahitaji kiapo kifuatacho kwa heshima yake na kwa heshima ya mashetani wote: Mwanafunzi ajikabidhi kwa Shetani kwa mwili na kwa roho yake yote daima dawamu, na afanye kila awezalo kuleta wanafunzi wengine wa kike na wa kiume katika ufalme wake. Kama hiyo haitoshi Shetani ataongeza kuwa lazima mwanafunzi atengeneze mafuta fulani kutokana na mifupa na viungo vya miili ya watoto, hasa watoto waliobatizwa, kwani kwa kufanya hivyo atamtimizia kila kitu atakachokitaka hapa duniani. Hiyo ni njia mojawapo ya kiapo. Njia nyingine ya kiapo ni kwa wale ambao hawajiamini au wana hofu ya kuonana na Shetani uso kwa uso kilingeni, akiwa na mwili wa kimazingaombwe na sauti ya kutisha kwani Shetani hana mapafu wala hana ulimi. Badala ya kilingeni mwanafunzi hupelekwa kanisani na jopo la wachawi ambapo mbele ya jopo atalazimishwa kuikana imani yake, kumkana Yesu Kristo, kuukana ubatizo na kulikana kanisa zima kwa ujumla wake. Mwanafunzi baada ya hapo atalazimishwa kutoa heshima kuu kwa Mfalme Mdogo, kwani hivyo ndivyo wanavyomwita Shetani ili kumwondolea mwanafunzi hofu, kisha atalazimishwa kunywa supu ya mtoto mchanga waliyemuua akazikwa kisha wakamfukua na kupika viungo vya mwili wake; na dakika hiyo mwanafunzi atapata maarifa, maarifa ya kichawi, kama walimu wake na watarudi nyumbani.

  • By Anonym

    Walk on with the spirit of boldness; talk on with the glory of confidence. You have a mandated seal on your chest... When you go with a bold chest, the devil and his cohorts must give way!

  • By Anonym

    Wanasayansi wanaamini kuwa Yesu atarudi tarehe 29 Julai 2016. Tarehe hiyo kitu kikubwa sana kitatokea katika dunia yetu kitakachosababisha tetemeko kubwa la ardhi, litakalosababishwa na kubadilika kwa ncha za dunia, tendo litakalosababisha mionzi ya gama kutoka kwenye jua ifike duniani na kuua kila kitu kinachoonekana katika uso wa dunia hii. Watakatifu watafufuka na kumlaki Kristo mawinguni, ambaye anakuja kuwachukua wateule na kumweka Shetani kifungoni kwa miaka 1000. Hayo yote, wanasema, yatatokea ndani ya siku 11 kuanzia leo. Yaani, kusini mwa dunia kutakuwa kaskazini mwa dunia, kaskazini mwa dunia kutakuwa kusini mwa dunia. Kitendo hicho kitafanya dunia ikose kinga ya sumaku iitwayo ‘magnetosphere’ ambayo hukinga dunia dhidi ya mionzi ya gama kutoka kwenye jua. Mionzi hiyo hugonga ukuta wa ‘magnetosphere’ kila baada ya dakika 8 kwa mwendokasi wa kilometa milioni 1080 kwa saa; na kusambazwa katika ncha za dunia ambapo aghalabu huchanganyikana na oksijeni na kutengeneza kitu kinaitwa ‘aurora’, au mwanga wa ncha, ambacho ni maajabu mengine ya angani. Mwaka 2012 wanasayansi walisema ncha za dunia zingebadilika lakini hazikubadilika. Je, muda umefika sasa wa kuwaamini wanasayansi? Biblia ni chuo cha Mungu. Soma Biblia kupata maarifa.

  • By Anonym

    We are living in a topsy-turvy world, where all is confusion. But you may be sure that it is confusion with a plan—Satan’s plan!

  • By Anonym

    We don't worship Satan, we worship ourselves using the metaphorical representation of the qualities of Satan. Satan is the name used by Judeo-Christians for that force of individuality and pride within us. But the force itself has been called by many names.We embrace Christian myths of Satan and Lucifer, along with Satanic renderings in Greek, Roman, Islamic, Sumerian, Syrian, Phrygian, Egyptian, Chinese or Hindu mythologies, to name but a few. We are not limited to one deity, but encompass all the expressions of the accuser or the one who advocates free thought and rational alternatives by whatever name he is called in a particular time and land. It so happens that we are living in a culture that is predominantly Judeo-Christian, so we emphasize Satan. If we were living in Roman times, the central figure, perhaps the title of our religion, would be different. But the name would be expressing and communicating the same thing. It's all context.

  • By Anonym

    We may not be able to stop satan from doing his business, but we can scheme to make his business to yield a loss! All things... I mean "all", "all things", "everything" is working for our good!

  • By Anonym

    We must be constantly aware that Satan can take any human effort and twist it to serve his own purposes.

  • By Anonym

    Wenye dhambi watafufuliwa na wataungana na Ibilisi kuipiga Yerusalemu Mpya itakayokuwa inang'inia hewani, huku Yesu na watakatifu wote wakiwa hawana silaha yoyote; lakini vilevile wakiwa hawapigwi kwa silaha yoyote. Shetani atakapoonekana kushindwa, Yesu atawasha ‘kibiriti cha kiroho’. Mafuta yote yaliyopo ardhini dunia nzima yatalipuka na kugeuza ardhi yote kuwa ziwa la moto, na hivyo wenye dhambi wote kupata aibu ya milele.

  • By Anonym

    What an ass you are!” Satan said. “Are you so unobservant as not to have found out that sanity and happiness are an impossible combination? No sane man can be happy, for to him life is real, and he sees what a fearful thing it is.

  • By Anonym

    What sets Salvation apart from everything else in the world is the Biblical truth that Satan cannot touch your soul because he doesn't know your PIN.

  • By Anonym

    What the Ancient Liar did to Eve at the beginning of things he did to me. The Mother of All was a mighty woman. She thought to outface the Serpent. She thought to brazen it though as she were herself equal to evil.

  • By Anonym

    When Geoffrey was away, the goat often took himself off. He had soon got the goats at Granny’s cottage doing his bidding, and Nanny Ogg said once that she had seen what she called ‘that devil goat’ sitting in the middle of a circle of feral goats up in the hills. She named him ‘The Mince of Darkness’ because of his small and twinkling hooves, and added, ‘Not that I don’t like him, stinky as he is. I’ve always been one for the horns, as you might say. Goats is clever. Sheep ain’t. No offence, my dear.

  • By Anonym

    When I opened my eyes this morning, Satan said, "Damn, he's awake.

  • By Anonym

    When our minds are on Christ, Satan has little room to maneuver.

  • By Anonym

    When Satan begins to particularly attack to persecute you, it should be a sign of your strength

  • By Anonym

    When the devil wants to punish his worshippers, he uses the trick of karma.

  • By Anonym

    When we are filled with the Spirit of God, obeying God, in His will and quoting Scripture, Satan will be defeated.

  • By Anonym

    Ulysses found himself hopelessly adrift within the confines of a yew-hedge maze, the leaf tips of which were lit by a Communion-wafer moon that rested on the black tongue of night.

  • By Anonym

    Unapokumbana na matatizo makubwa katika maisha yako ujue Mungu ana mpango maalumu na maisha yako. Ndiyo maana Shetani anakuandama hivyo.

  • By Anonym

    Wachawi wanaabudu miungu ambayo ndani yake kuna Shetani, aliyesababisha Ibilisi achague mabaya badala ya mema kabla Mungu hajamfukuza mbinguni. Shetani ndani yake kuna Shetani. Huyo Shetani aliyeko ndani ya Shetani, anayeitwa Roho ya Mabadiliko ya Kweli ya Ufahamu Kamili wa Siri ya Uumbaji wa Mungu (kwani ukiijua siri ya uumbaji wa Mungu unakuwa kama Mungu), ndiye anayeabudiwa na wachawi.

  • By Anonym

    Wachawi hawamwabudu Shetani kwa sababu dhana ya Shetani ni dhana ya Kikristo, na wachawi si Wakristo.

  • By Anonym

    We as Christians are called to battle. The problem is, we don’t fight about the right things and we do fight about the wrong things. We aren’t getting in the battle that we should and so we fight over petty, insignificant things. Why? Because we are bored. We are soldiers created for fighting against the enemy, Satan, but instead we fight against each other.

  • By Anonym

    We constantly pass up the rich and beautiful and ennobling experiences and seek out the tawdry, the cheap, and the degrading. These are the works of the devil, and they flourish on every side!

  • By Anonym

    Ukiwa na mafanikio ya Shetani hayo si mafanikio ya kweli. Ukiwa na mafanikio ya Mungu hayo ndiyo mafanikio ya kweli. Mafanikio ya kweli hayatokani na NINI unacho. Mafanikio ya kweli yanatokana na NANI unaye. Yesu Kristo alikuwa maskini, hakuwa na kitu; lakini alikuwa tajiri, alikuwa na Mungu ndani ya moyo wake.

  • By Anonym

    When you are DOWN for satan, you'll be LOADED with sin... and you'll DOWNLOAD failure! You and I can't be part of that mess!

  • By Anonym

    When you make a deal with the Devil, it can be Hell.

  • By Anonym

    What though the field be lost? All is not lost; the unconquerable will, And study of revenge, immortal hate, And courage never to submit or yield: And what is else not to be overcome? That glory never shall his wrath or might Extort from me. To bow and sue for grace With suppliant knee, and deify his power Who from the terror of this arm so late Doubted his empire, that were low indeed, that were an ignominy and shame beneath This downfall; since by fate the strength of gods And this empyreal substance cannot fail, Since through experience of this great event In arms not worse, in foresight much advanced, We may with more successful hope resolve To wage by force or guile eternal war Irreconcilable, to our grand Foe, Who now triumphs, and in th' excess of joy Sole reigning holds the tyranny of Heav'n.

  • By Anonym

    When you are posessed by evil spirits, it is crafty manipulations that you follow; but when you are posessed by the Holy Spirit of God, it is wise discretions you pursue!

  • By Anonym

    When you invite Jesus Christ into your life and embrace his command, Satan receives an eviction notice. Romans 10:9

  • By Anonym

    Yesu alikuwa binadamu ili afe kama binadamu kwa ajili ya binadamu. Alikufa msalabani ili sisi wote tuokoke. Lakini Shetani hataki hilo litokee. Akiingilia uumbaji wa Mungu toka tumboni mwa binadamu, binadamu atakayezaliwa hatakuwa na uwezo wa kuongoka. Atakuwa na roho ya jini itakayomjua Shetani badala ya kumjua Mungu. Hivyo kurudi kwa Yesu kwa mara ya pili hakutakuwa na maana, kwa sababu hakutakuwepo na mtu wa kuokolewa.

  • By Anonym

    You're the measure of my true decline. Your home isn't in the underworld, you live in the back room of the liquor store. My eternally hung-over angel, my Satan crawling like an amber worm from a bottle of Zoladkowa Gorzka.

  • By Anonym

    Yesu Kristo alilipa gharama ya maisha yake kutununua kutoka kwa Shetani. Alijitolea maisha yake ili wengine waweze kuishi. Upendwe vipi?

  • By Anonym

    You are mine, and Heaven itself cannot rescue you from my power.

  • By Anonym

    You cannot argue with [Satan], for he is the greatest debater of all time.

  • By Anonym

    Your eyes should never be lent to the devil; they belong to God. Be careful how you use your eyes!

  • By Anonym

    Yes, my eyes are closed to your light. I am a beast, a nigger. But I can be saved. You are sham niggers, you, maniacs, fiends, misers. Merchant, you are a nigger; Judge, you are a nigger; General, you are a nigger; Emperor, old itch, you are a nigger: you have drank of the untaxed liquor of Satan’s still.

  • By Anonym

    You might want to have Kate close her eyes if you ever want her to sleep with you, asshole. Because once I take off my pants, you’ll always come second.

  • By Anonym

    You twitch as the darkness moves in and out of you. It crawls up your spine and nestles in your brain like an evil thought from out of nowhere, burying itself in your psyche like a starving leech looking for a vein.

  • By Anonym

    You were born to lead people out of the darkness into light in the power of God. Dare to rise up to this calling! Never stand low for satan to mess up your destiny. You are a pencil in the hands of God!

  • By Anonym

    You will ever depress the devil if you always love those who spit hatred into your face. The devil loves vengeance and anything contrary to this is an agenda to bring down his temporal kingdom!

  • By Anonym

    Accommodation is a central aspect of the cross-centered interpretation of violent portraits of God that I'm advocating. Like everything else in Cross Vision, this concept is anchored in the cross. On the cross, God stoops to meet us, and to enter into solidarity with us, right where we are at, which is in bondage to sin and to Satan. And he does this to free us and to bring us where he wants us to be, which is united with him in Christ. The cross is thus the paradigmatic example of God mercifully stooping to accommodate people in their fallen conditioning.

  • By Anonym

    A fast to be true must be accompanied by a readiness to receive pure thoughts and determination to resist all Satan's temptations.

  • By Anonym

    Your level is above the reach of the devil... Keep it in mind; as long as you are in the light of God, you bind him (the devil) tight!